hehehe nangoja kuona kanono haswa kam amefunikwa halfway na mboga huku ketepa ikifly hewani, hapo mimi ningetema saa hiyo hiyo, ni kama kula njugu imeoza wakati Veve imeshika
Hekaya iko smarta:D:D:D
:D:D:DUsijali.Hukuenda hasara kotekote.Ulikuwa umebugia ‘Special mix’ tayari!
@introvert, hii kinena hatuielewi!
Gatungu uko poa sana kwa hekaya!
hehe #teamjaba aka #teamkanyeni tunakuona sana
Hehe … tumia opposite yake hapo uendelee kusoma hekaya
Hehe … chokosh ya Berndora. Jinga
NV … kuja polepole. Usijaribu kusema ukweli hapa ama utaketishwo pale
Wewe kubali tu kuchochwa hapa
Ni mmadha nilikuwa namezea mate na alijua. Pengine alijiambia ni kumkatia nilikuwa najaribu. Guess hio siku after supper walikuwa shteam mbaya :D:D:D
Hehehe mblo unanichekeshaga sana,
Huyu matha wa kibandaski hakukutrack
Hehehe…
Respect jo.
The very first cartoon I drew here was in response to ile hekaya ya kupoteza Timberland kwa bus…
Hehe … hio naikumbuka
ninjas don’t like fat people. ni ka-jealousy fulani ka kufikiria you are fat juu ya kuwamalizia dish…
you too hilarious
Hii hekaya imeniumiza mbavu maze.
Kush umejionea mengi.
Nikama movie buda boss
Uncle Thio likes this…
Hekaya on point kama kawa, though Ungechochea mix ya muguks na mboga… Pengine ina shteam mwenda
Kuria, una vituko sana, kumbe ulikuwa ukiishi namba nane?
Kush Kuna ninja anaweka hekaya zako facebook, ebu chungulia
Afande, utamulika @Gio. Come slowly