Vita Dhidi ya Mashoga

Pale TZedi, kina @Electronics4u na vibaraka wao wanafurushwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amepiga marufuku biashara ya shisha, Sigara na Ushoga jijini Dar.

‘Mimi ndio mbabe wa vita. Ndani ya siku 7 biashara iwe imefungwa Mara moja’ amesema Makonda.

Amesema Ndani ya mkoa wangu(Dar) ni marufuku kuvuta sigara hadharani!

Aidha, ni marufuku wakazi wa Dar ku-follow mashoga kwenye twitter, Facebook, Instagram nk. Amewatahadharisha watu Just kuunfollow them ili usiwe hatiani!

Kaongezea kwamba, Kuna Asasi za Kiraia(NGO) zinapokea misaada ili zitetee mashoga. Kwenye mkoa wake wa Dar hizo NGO zote atazifuta.

Ameongeza, Ukiandaa Kitchen-Party ukamwalika shoga; wewe bibi harusi na familia yako na huyo shoga mna hatia zinazofanana!

Wale wanaowa-follow mashoga ktk mitandao ya kijamii wanafanya makosa sawa na mashoga. Tutawashughulikia kwa makosa sawa

Dar es Salaam Sasa Kumekucha.

Hehehehe… Umesahau kutumia handle ya @Mtanzania Magufuli

13 Likes

HUYO hapo juu ajiita bingwa ni shoga wenyu. Kazi sasa kuenda jamii nakuchuka chochote

5 Likes

Huyo makonda ndo nani?

@Mtanzania Magufuli you think you can end an old practise that dates early as 200BC . Dumb ferks

1 Like

Amefanya marufuku mashoga wote washikwe. Kama wewe moja wao, ole wako kaka

6 Likes

mtawashika halafu ka hamtawaua mnafanya kazi ya bure

Na sasa si ukifika jela si watakufungua boot zaidi. Ole wako magoof

Boot nini kaka?? Kama wamaanisha usenge, basi jela huku hatunatabia Kama wenyu

4 Likes

Makonda might be gay himself.

kila jela una ushoga.

Putting a gay idiot in prison aint torture,that paradise to him.like fisherman shooting fish in a barrel

1 Like

http://i3.kym-cdn.com/photos/images/newsfeed/000/765/154/c51.jpg

2 Likes

it’s like leaving a kid in a candy store.