:meffi:
Sio tatizo lako unatumia kichwa cha chini kufikiria
embu tulia carba
hahahaha ndio maana wamekuwa wakali wanajijua kumbe
Nimeomba za wakenya kwanza
Hizo zipo, zimejaa KT bratha
hahahaha du shape kama kabati
kocho
Ndio nimeomba Tupia hapa tuone
Tembea East Africa bratha, hasa miji mikuu ya Kenya…uwaone live, picha zitakupotosha
huyu ndio @pseudonym ama? kuuliza tu?
Sasa mimi na wewe nani anatumia mdeki kufikiria? Ngombe ya magufuli ni ngombe tuuuuuu…
The matte black momo…Betta recognize.
I am told I beat ur blackness hands down… some thread I regret posting my feet :rolleyes::rolleyes:
[ATTACH=full]179073[/ATTACH]
[ATTACH=full]179075[/ATTACH][ATTACH=full]179076[/ATTACH][ATTACH=full]179078[/ATTACH][ATTACH=full]179079[/ATTACH][ATTACH=full]179081[/ATTACH][ATTACH=full]179080[/ATTACH][ATTACH=full]179081[/ATTACH]
kama thread inavyosema weka picha mwanakijiji
shida yako ndio hiyo unatumia kichwa cha chini na visigino kufikiria sio kosa lako
So I heard…heheh.
I embrace my darkness , so should you.
Na licha ya hilo bado IQ yangu ipo juu ikilinganishwa na yako, Ngombe ya magufuli tuuuuuu…
Sasa kwanini huwa mnasema kukaa nusu utupu ni kuiga uzungu?