Uwes uko na ufala sana

Hi gari atawahi fika A-spot kweli na vile imekiwa the new craze?

:D:D:D

Nimemiss mutura na nyamchom, shemeji. Lazima nikule kwako. Pigsty utanisaidia kujenga pia

Huyo dem ni saizzzzz yangu Kapsaaaa

Hee he true uwes pengine awe the most dharaud talker :D:D:D:D , Mr bull fighter

niaje beautiful one?

I am fine Love …Lent manenos…did DO1 salimia you tulikuwa na yeye digitall butchery huko ndunyu

Enjoy that song this evening cheers :):):slight_smile:

usikubali akudanganye ,tunataka mahari ya madollar kutoka kwa @kilo_ nimemupea warning albeit subtly kwamba hata Mimi ni former special forces asiletee mchezo

Sijakuelewa apa

Huwa namuuita hivyo

He he hizo madollar hata mimi sijawaizishika…:stuck_out_tongue: :stuck_out_tongue: utangoja kweli dear kwa hiyo project ya pigsty proposed above fanya mark vizuri ,we expand the hacienda @ Santa Fe ,build up a pool and add a wine cellar :slight_smile:

Hii ikus utatafuta kama wachimba migodi ikolomani