Ni kulimana …
@LongerTime ndio hii ile maneno ulikuwa unasema kuhusu vita ya ufala na ego.
Time moja club wasee wanapigania kiti
A brainless brute at work.
:D:D:D:D:D mpaka bunduki zinatolewa
hio brawl ya mwisho ni tamu saidi. kuna giant fulani ame avoid fight yote na hakuna msee amemrushia ngumi
You have to know how to throw punches…that confidence that you can stand your ground makes it easier to avoid fights
Walikua wanawika tu. " peng" ilikua group ya @Motokubwa