Night Runners poleni kwa kuchelewa kufungua sacco mwenye alifunga leo alihepa na funguo.
mark register
Funda wewe, umenieka kutoka saa nne.
Present.
ION, ati guka alianguka kwa shimo ya kaburi ya agemate wake wakazikwa pamoja
alitolewo, anakunyua supu saa hii…
The waiting has been tortorous but niponipo,tupotupo!!
Nachungulia nikienda kulala, nimekaliwa na mtihani leo
guka leo ame trend the whole day na #ferk@meriamata
present, watching cctv… …hii petrol scarcity ya Nigeria ni ironical sana
ulipatia jamaa wa picha kazi?
Today my Samsung smart TV screen cracked due to some negligence by the house help; now am being told by customer service that the screen can only be replaced at a cost of forty k. Eti forty k!! @uwesmake Khocha saidia hapa. @Electronics4u any advice will do.
chapa crack celotape jamaa
Shortlisting will be done next week, sioni akimake cut
btw pia mimi natafuta kazi lakini ya acoustic siwezani
Am learning to stretch my imaginations on how the other distorted pictures would have looked like.:mad::(:mad::(:mad:
Unawes inbox field if we have such nitakuchanua
Present… kuzubaa na CNN
will do right away
Hebu shtua @pamba akuconnect na Kavuludi;recruitment ya the boys in blue is on.
Niko niko. Gilbeys should be made our National drink.
Naskiza hizi wimbo zinacheza Hope fm, will leave the radio on at low volume…kisha nitafute hiyo audio bible like the voice intonations
i think nimepitisha miaka ya kujoin kavulundis boys even as a graduate