karibuni kwenye usiku sacco KCSE results edition. mwenye ako na results aweke za hawa tujue walipata ngapi
[ATTACH=full]32817[/ATTACH]
karibuni kwenye usiku sacco KCSE results edition. mwenye ako na results aweke za hawa tujue walipata ngapi
[ATTACH=full]32817[/ATTACH]
Why do kenyans get excited with KCSE results? And four years down the line wale top performers hamtawai waskia mahali. Lakini ma D plus material ndo big wigs after 4yrs na wana ajiri hawa top performers e.g mike sonko. Hii kwanza ni form 3 drop out
nakumbuka siku niliendea results zangu all those years ago…ile baridi nilikuwa nayo hiyo siku sitawai sahau…kuna beste alifukuzwa nyumbani na babake juu aliweza tu D kiroho safi
present…
mimi niliendea result nikapata C+
ata hakuna msee aliniuliza tommy ulipataa nini kwa exam
same way nikikamua mkia no one ask me unajiskia aje
Present bwana DO 1 Sir
one thing I like about you TLS uko real and you don’t hate kuna jamaa mwingine Wa c+ kama wewe. A za watoto zinamuwasha na yeye alipita hiyo sector over 10 years ago.
Our education system is rotten brainwashing kids that if you don’t get a good grade to go to campo your life is over, I was brought up in that mindset my patents being civil servants both believed in that shit of getting a good grade…doing a good course and getting employed marrying a good girl and living happily ever after…that’s just bullshit
hizo patents mbisha ikam.
Present. Mimi nilipata A- na siringi… naenda kukojoa nirudi nilale
Mblesent na B- but nilikataa kuenda campo kufanya Being Around and I have never regretted it.
Asante D. O. For opening the sacco, Kumbe wewe ndie u like a funguo, was about to go to CID hqs.
Anyway enzi zangu kulikua division 1 hadi division 4.
Ma distinction, ma credit, na ma pass.
pamoja na research notes…
[ATTACH=full]32825[/ATTACH]
Oriena papa nimeland momo in tow. Jameson inaniuwa nishakamua shot mbili mbicha mupate telegram
Chukua @gashwin muende reserve mutuachie madem town.
I was forced to continue schooling. G ya kwanza nilipata nkiwa mono, second nkiwa borm 2, and from there nkadecide to venture to biz!(milkman) nkapewa kichapo international na uncle.
Following year nkaskiziwa n I went back 2nd form, continuous suspes hadi I had to sit 4 the exams in another school.
Managed to get a slightly better grade than TLS.!
Mwenye register anitick!
Prezent…
hii telegram yako tunakuachia IC.
Nilipata grades za campo… Lets see what life has for me
Watu wanarubbish good grades hapa…kuna so much bile from underperformers wa miaka nyingi iliyopita. We will celebrate a good honest grade especially from a child from a humble background since itamwezesha kusoma equally with his/her rich peers bila kustrain wazazi wake who may not have been able to afford Parallel Courses’ fees.