Due to unavoidable circumstances,I have called myself to a meeting and decided to open the doors of our headquarters. This measure will help members not wank too much due massive blackout.
Karibuni.
Knocking the door.
Hehee how does someone do it in the dark? Mna shida kweli
Kwani hii kitu ina racism… I thought all male, female and shemales do it!
[SIZE=1]Sitaki nyef nyef ati racism is not the right word… I opted not to use discrimination![/SIZE]
Niaje meja general @bjurmann
Na what’s with black out na new villagers, ninaona watu sijui wametoka wapi putting up funny threads, angalia from 4.30, N.Vs ndio wamekuwa usukani
You thought wrong. Not everyone is in this bullshit
Me ndio nime ingia in my hacienda from school, naona pia nikigurumisha nduthi Lakini baadaye nikiwahi ka stimulant
hii blackout itanipea third born
yani hamjarudishiwa stima? huku nimewasha mataa zote. hata sockets hazijaconectiwa kitu ziko on!
:(… stima ndio zinakwom, and no I have 0.00 tokens kuna mtu amenionea boyfried wagu pahari…:(…
How did you reach 0.00? Umesota hivyo sweetie?
@Wakanyama unaitwa huku ununue thitima
Njaanuary tings, boyfriend pia lazima achezee chini
Na valz inacome. Jamaa ataonekana Feb 17th
Just time my phone was 4%
Sasa weweeeeee @bjurmann na hata Pre-match analysis ya Copa Del Rey bado…:oops:
Stima zimecome kisiwani pia.
Coldpilsners account has been verified, tumeanzia fta pale pale tuliachia.
NVs wote wengine wameingia leo ni UPUS
Stima kapotea, gas imeisha, charcoal ni mututu, mvua inadrizzle, can you imagine trying to milk at 3am with all these going on? Leo mulika mwizi ndio itashikilia torch, radio, simu… Eish!!
Niko filthy [SIZE=2]broke. [/SIZE][SIZE=4]Drinking Faxe on the balcony. @admin get a solution to this Bingwa nonsense. Ananiwaste-ia bundles[/SIZE]