Usiku sacco

Siyui niseme nini, hii kijiji hunimaliza, am parking my truck kaa sioni mbele alafu nasoma story ya @Adeudeu na simu, Jeeeeeeso mwathani, @admin pea yeye cheo ya VS saa hii nitalipa na the 10000 credits I have.
Ngai! Nikimeet huyu @Adeudeu expect the first colabo hekaya.
Hio itakua movie.
Welcome to usiku sacco.
How was your Sato?
Mie nilikua na shine macho Kilifi County.
[ATTACH=full]104771[/ATTACH]

5 Likes

Enyewe Epl kuisha inanicost.After a long day with patients am tired and bored.Am out.

I read in the news you released all mental patients, kwani nani alibaki? Asking for a friend

1 Like

Hehe wale wa isolation bado tuko nao na wa accidents pia.Wendawazimu wetu bado tuko nao hatujawachilia…

Leo nilikua na hapo pako nikaogelea zaidi

Sorry to bring this quote here.

But have you ever met those fake Masai conmen with golden stuff inside a small glass tube that you can’t open and the only way to affirm if it’s gold was by breaking it!! My aunt lost 5k in that con game.

uliogelea kwa ama kwa changarawe?

Kwa maji. Huwa mnaumwa na kichwa mkikaa kwa maji for long(10 mins) naumwa sana

[ATTACH=full]104773[/ATTACH]

Toa helmet:D

no. lakini we get uncomfortable tukikosa kuoga, for example example, tunaweza usingizi or feel uncomfortable when with friends or so

1 Like

Fala hii drink ilisemekana ni ya watu aged 70yrs +1. Ask @M2Random

3 Likes

Hip hip horayyyy
@mukuna ameoga Leo.
Hehehe
@Ice_Cube hebu ingia kwa archives watu wajue kwanini mukuna haogi
Weka wrink

1 Like

Yaani hata nikiwacha makali hamuniwachi?

2 Likes

Na @admin huyu icepubes apewe cheo kubwa.
He is always there for us
Ama namna gani @gashwin
Talkers wa nguvu wawe recognized ama…

Hmmm
Ebu niachie hapo

unifunze grammar kwanza

1 Like

@Meria Mata naona yule daktari wako @jumabekavu ni bure kabisa. I haveen waiting kuskia kuku zikiwika kwa minyoo lakini wapi…furuta yeye kasi.

Na @mukuna hiyo yako ya kuoga ni hekaya…wapi mbica hata ya kishwa ikiuma

3 Likes

Shhhhhsh
Tulia kidogo…

@xuma uko wapi utusaidie kwa msamiati

usha toka coast kwani

01:40 full of insomnia.