23:46
Naona @Mundu Mulosi pesa ya moderator haitoshi akaamua kukuwa endaprenuwa…
[ATTACH=full]85217[/ATTACH]
23:46
Naona @Mundu Mulosi pesa ya moderator haitoshi akaamua kukuwa endaprenuwa…
[ATTACH=full]85217[/ATTACH]
Hongera!!
Mbarikiwe nyote.
@Web Dev @Eng’iti na yule jamaa mwingine kwani mlichapa shoti za uzito same month? Ama mlijochocha? @Ice_Cube ebu angalia topics za 9 months ago ktalk kulikuwaje
Salimia yeye mwambie kuna mtoi wangu mkikuyu anazaliwa this year akuwe bibi yake
Congrats buda. Kura za UOTP zinaongezeka.
…Nimetoka job saa hii, kufika hood ‘gitaru’ napata a large crowd kwa stage ya kuelekea wangige… opposite, probox fulani, parked somewhere with 4 dead men… it’s been there for two days, Hakuna damu, its tinted…nimeogopa
Hehehehe cheza chini
Nakamuliwa na report hapa sijui nitalala saa ngapi.
Yeh niko within…
Apana tambua shida ya maji sisi huku lower karen
Pitia hiyo rocal iko kando ya Tuskys nikushikie mbili za congrats kesho
@Ice_Cube juu umedoze hii thread kesho apana reply.
Kesho nakuchapia.
Nakambia usiku kakiamka
Hehehe.
Napatiana congrachuleshens banaa.
Shait, that was reply ya @Jazzman
. Ebu chora hawa 3 ktalk February dads. @Web Dev @Eng’iti na @Yollo
Kasalimie pamoja na mama
Nakuona Title yako ishaa badilika…
Inbox basi
Quadrey anzisha thread na uweke hizo mbicha
Strangely, I had started already.
Wacha niishelf kidogo.