Leo soko ni mapema due to obvious reasons that @Meria Mata amelipwa na ataenda awol @Fala 12 amekuwa summoned by marwa to explain discrepancies in his budget @luther 12 na @Nefertities wanaboycot village in protest to @uwesmake being banned @ktalkville amedethrone @Tommy Lee Sparta to become the village mouth piece… @derro na @Algernon washed their dirty linen in public while our@fieldmarsharl dry fried the jc ladies and gentlemen welcome to the usiku sacco…
i would let @cortedivoire take a poo on my keyboard before even THINKING of boycotting for that idiot!
[SIZE=1]Pooping in the possie looks like best dare.[/SIZE]
:D:D:D
Kwani ushamaliza Gilbeys ya pili? Nategea mechi ya Upuzi. Derby twanga pepeta mtu…
Tukotuko!
Nangoja hiyo mechi pia.Naskia Man U wakiskia Derby wanafikiri ni Man City.
[ATTACH=full]29333[/ATTACH] [ATTACH=full]29333[/ATTACH]
Let me stick Na viceroy,usual peasant drink
Leo mumefungua donyo mapema sana maze.
hapa nyati za kampala zaleta zogo maze.
Soda water, okay.
by the way @imei2012 what rank are you in the military?
present as usual…
Wazi @imei2012 for opening the sacco tonight lakini kuna kadetail fulani Umekosa, ktalk Millionaire nikulipa watu sio kulipwa.
heri sacco ifunguliwe mapema ju masaa zingine apa watu hawataelewana.ION Leo naona Manchester ikikumua mutu.
Tonic water is not soda water…
Sawa millionare@webdev???
Sawa mkuu, it’s been long since I saw that. Mimi huona schweeps tonic. Ama tumeingia time machine bila kujua.
Nope this is turtle lounge,uasin gishu county ñ
Evening sacco is conspicuously missing Momo One…
Present.
Hii kitu ni smooth sahi niko kwa ya pili nikiskiza legal riddim
Hehe speculate bro just speculate