unajua kitindo imebomolewa?
what ? siko aware banaa na hapo niikuwa napata wakamba momo warembo
Sasa nyama ya gazelles na antelopes mnakula wapi?
Tutaenda Spinners
Kuna time nimeenda nairobi tao nikaingia restaurant na mrembo wangu nikalipa more than 1k for lunch wakanipa receipt alafu wakaniserve spoilt food. nyama inanuka unaskia tu. tukkaanza kuargue na wao kama imeharibika ama haijaharibika. Naangalia kwa table zingine naona watu hawakuli wananungunika kwa chini tu. jinga hazicomplain. nilirusha drink nilikuwa nayo kwa hiyo chakula na tukatoka. Nilisimama kitu 8pm kwa njia out of town tukule juu tulishinda tao njaa. sijawahi nunua chakula tao tena.
Jingah!