.
[ATTACH=full]47600[/ATTACH]
He he he …
in the middle of a deep and murky pool
That guy is fucked
itabidi aende nyandarua afungue wines [ATTACH=full]47605[/ATTACH]
he he…huyo itabidi apige magoti, aangalie kerio valley aseme Boinett tuko pamoja…
Hio ndio kujizalia njaa literally
Uweskimwi uko wapi na chips n guarana zangu??
I cursed Uweskimwi akapata kisonono ya mbwa. Next in line ni Wakanyama…
Fucked Himself actually
Nigga in deep shit…
Labda gari ilikua ya car hire, kuomba, ama ilikua ame peleka carwash or garage kamjamaa ameachiwa gari aka hepesha.
Hapa hakuna shida…
First thing unachukua simu unatupa nje.
Second unaingililia kasarani unateremka mwiki na huko chini. And drive your car to the remotest place ever. Unaingia unatembea on foot to the horizon like five days. Saa hiyo unakuwa reported as missing person later unareport a car hijacking and attempted murder kwa any police station. Pia wife or friends watareport missing person.
I like the way you are thinking
noma, may just work
Ukirudi utapata hata ka-fundraising kalifanywa ka 100k hapo nyumbani. Hata watu watakuja kukuambia pole afterwards. You get back your job and freedom after the investigation. And 100k richer.
Narokotwa kwa pipa
hehehe