UNCLE WETA AMECHESWO NA BABU

He went for a holiday in GERMAN EAST AFRICA. [ATTACH=full]35949[/ATTACH]

ati waziri mkuu? nani ako jamii forum awashie hawa wabongo muoto?

1 Like

Mustaafu is the keyword

1 Like

Praiminista Bandika aliacha maelezo na yakafwatwa. Kesho machozi ya mamba, akiwakashifu waliyeiharibu sherehe ya nduguye.

1 Like

Wewe zuru makaburi tu na Weta anangojewa na bibi aeleze kwa mini ulimwachanisha…