Unakufa Challenge

There is this new challenge on Twitter… #Unakufa.
After reading some of those tweets, I’ve come to the conclusion that Kenyans are very stupid or very smart. I don’t think there is an in-between.

How does this even become a challenge, and how does someone think of some of these things.

Sijui kama mmeona hii.

[ol]
[li]Unakula KDF inakupiga war UNAKUFA.[/li][li]Unadate mkale anarun away with your heart UNAKUFA.[/li][li]Unaview status za ‘unakufa‘ unacheka sana unashikwa na muscle contraction za shingo UNAKUFA.[/li][li]Unakosa kuniitia form unalewa unaanguka kwa sewage UNAKUFA.[/li][li]Unapigwa tear gas hapa Nairobi, unafaint unapelekwa KNH unaekewa kidney ya punda unarusha rusha mateke ovyo ovyo kwa streets unapiga billboard ya infinix unalipukiwa UNAKUFA.[/li][li]Unakataa nikushike unashikwa na homa UNAKUFA.[/li][li]Unajiona beast unavybe dem wa Strath/USIU, Kizungu inakunyonga UNAKUFA.[/li][li]Nakutext unalenga text yangu alafu simu inazima unaeka kwa charger inalipuka UNAKUFA.[/li][li] Unaspank dem mkamba anatoa vumbi unapata TB UNAKUFA.[/li][li]Unasmash dem na doggy style unapata rabies UNAKUFA.[/li][li]Mnanyanduana missionary mnashikwa na kanisa mnasulubiwa MNAKUFA.[/li][li]Unangangania dem mnono akusugue anategwa anakuangukia UNAKUFA.[/li][li]Unakataa kurombosea boy kwa club unakaa chini kiti inavunjika unaangukiwa na mzinga UNAKUFA.[/li][li]Unajaribu Kupiga story story inakupiga UNAKUFA.[/li][li] Unaenda sherehe ya kukata na shoka unakatwa na shoka UNAKUFA.[/li][li]Dem yako akona sauti ya kutoa nyoka pangoni anaimba nyoka inatoka pangoni inakuuma UNAKUFA.[/li][li]Dem anajifanya anajua kurombosa anashake kiuno sana ananyamba ANAKUFA.[/li][li]Unajifanya unajua kurap unatafuna ulimi unanyongwa UNAKUFA.[/li][li]unakataa kukunywa pombe kwa bash, unarudi nyumbani unakunywa uji moto inakuchoma intestines UNAKUFA.[/li][li]unakataa kusomea CAT paper inafika inakushinda unaanza kukula pen unaimeza UNAKUFA.[/li][/ol]
Nimeiba hapa - http://www.theinsyder.com/top-20-hottest-unakufa-memes/

U

unaskiza ile song inasema “wenye wivu wameze wembe wajinyonge” unaona wivu>unameza wembe unajinyonga> UNAKUFA

Beshte yako anakusho kuna stori aliambiwa akacheka akakufa unadai akuambie. Anakuambia unacheka UNAKUFA

Unasoma hii thread unapata ni umeffi unakasirika ile mbaya unapata hbp unakufa

95% ya watu walizaliwa after 1988 ni mafi wako nayo kwa kichwa

[ATTACH=full]201783[/ATTACH]

Unajaribu kuelewa kenya @thesavage anasema, unapata brain damage UNAKUFA.

MAMA

kutoka mukuru kwa zuckerberg

Unasoma thread ya @Kennedy Maina UNAKUFA

humbwer
ghaseer
tucker tucker
hii upussy si uwachie huko mukuru.kwani ulikua lazima ulete huku?

[MEDIA=giphy]2Ni7YLEOiPgRy[/MEDIA]
These kids are too creative

:meffi::meffi::meffi::meffi:

hile ya bora uhai ilikufa?

Retardedly creative, This is the dumbing down of society that is pervading our kids through the social media

Unasoma hii post, unacheka kiufala, unanyongwa na mate,unakufaaaaaa

I am on Twitter three or four times a day na sijaona hii ufala, who do you follow?

What happened in 1988?

Huyo ni Cholmondeley ako hapo nyuma?

Does everything have to be a challenge?