Wakuu heshima kwenu
Ni wazi kuwa sasa tuko ukimbizini kwa muda na tunawashukuru ndugu zetu kwa kutustiri katika hiki kipindi kigumu.
Wengi tulikua tumezoea JF kwa mambo mengi na shida zetu mbali mbali zilitatuliwa kule
Je ,umeijuaje Kenya Talk na hadi ukafika JF ya huku?
Mimi binafsi nilikua nagoogle any kenyan or Ugandan forums ili niweze kuona mada mbali mbali kuhusu world cup,ndio nikajikuta huku.
Wewe umeijuaje?
Yaani sijui nimefikaje huku
Mungu ni mwema wakati wote
Eli-91
June 22, 2018, 11:04am
4
nimeletwa na suggestions za google, nadhani kitu kikiwa maarufu kwenye eneo fulani basi uki google kutoka eneo hilo kinakua miongoni mwa majibu ya kwanzakwanza
Kylie
June 22, 2018, 11:18am
5
Kuna chalii etu mmoja fb alitutonya
NAHUJA
June 22, 2018, 11:24am
6
Mie namshukuru mkuu fulani hivi wa JF ndie aliyenipigia simu.
Samael
June 22, 2018, 11:37am
7
NimeijuliaTwitter kuna mdau alisema kama umeimiss JamiiForums kuna dawa yake akaweka link kuteleza nazo nmejikuta npo huku Shukran kwake maana nlikua nshaanza kuona mzigo Smartphone
mimi nilikuwa na google sheria za tcra mara ghafla nikaingia kwenye blog moja kuna habari imeandikwa melo akanusha jf kuhamia kenya nikaisoma nikaingia
Stroke
June 22, 2018, 1:32pm
9
Mimi nimejaribu tu nikasukumiziwa huku.
Haaaaaaaaaahaaaaaaaa
Kakusukumiza nani huku?
Je ungezama ingekuaje?
Nilimtumia @Demii link kwa simu yake
VAPS
June 22, 2018, 3:25pm
13
Jamaa yangu alinipa tip via group WhatsApp baada ya kuuliza, wengi wanateseka kwa upweke.Nashauri aliekaribu na Mange amuombe a post link hii.
Nlisikia bbc wakitangaza kuwa Jf imeibukia Kenya…watashindana lakini hawatashinda
Mimi nipo tangu mwaka jana, nilikuwa nasachi mtandao pinzani EAC, ndo nikaona haka kt kanakuna mdogo mdogo kikajiunga
Twitter ndio iliyonileta ukimbizini
Nalog off
Ukigugo jamiiforum hii imekuwa ikiibuka nikajikuta huku…
Usser
June 23, 2018, 5:27am
19
Aiseee mm nlijjpata huku wakat napitia
News za BBC Swahili nkakuatana na habar
Ya kusema "jamiiforum yakanusha
Mtandao wao kutumika Kenya na kusema haijui chochote kuhusu Jf ya Kenya"
Hapo hapo kukawa na link ya KT
Bhas na mm nkateleza nayo kama
Nashuka mlima kitonga
Utakuwa bila shaka ni member Kennedy wa JF
“Mungu ni mwema wakati wote” huwa anapenda sana kuwrite hayo maneno.