ULEVIJIRI SACCO

Bado na zidi nitadoze 12pm.Kama bado unalewa weka stamp uko wapi na unaplan kulala saa ngapi?

pombe sio supu brathe

[ATTACH=full]80551[/ATTACH]
black ops …simu yako haina camera bado

brathe ni wewe !

oa uwache uchinga mefi wewe

ati AFCO wewe ni @pamba

1 Like

Wacha kusumbua maliza uende ulale

navy seal tulia

Ulevi haijaisha kwa kichwa?