Watu wakutoa lock waweke stamp wana kunywa nini na wako wapi?
Nikianza kunywa saa hii siwes on game kubwa leo so saa hii najipea mashughuli. Game kubwa kama hii hata sitakangi kuwa na mwanmke karibu juu tukichapwa itharibu moods I will overdrink and probably my sprinkler may malfunction.
sijawai ona mjaluo mujinga kama wewe , unafikirianga wewe ni mzungu . mimi nakula omena na ugali na sisumbui .
nimejikakamua nikanunua Jamaican express rum (42.8% alc), am sipping it mos mos
Kwani ni pesa ngapi?
around 335 bob kwa supermarket (Uchumi)…375ml
1 Like