ULEVI SACCO

Leo nakunywa blue moon na goks. Watu waweke stamp wana kunywa nini na wako wapi?

Niko ofisi bado lakini, jioni niko kwa Konyagi.

leo ntaanza na zoezi, then nijiweke movie ama [ATTACH=full]65993[/ATTACH] kama mbaya ati simba akikosa nyama hula [ATTACH=full]65994[/ATTACH]

3 Likes

https://www.youtube.com/watch?v=kAPEntGix4M

Coconut ni mambo biad,made me clock 160 between Kapsabet and Eldy

Shunga usiitiwe nyama umwage after 6 seconds

1 Like

Mrembo anasema anataka Kukunywa Gilbeys so sa hii namsikizia Zanzi is way better ndio nipunguze gharama

huanga noma juu huskii ikipanda we nakunywa tu juu ni tamu, weee

1 Like

Yaani kirusi huezi afford mzinga moja tu ya Gilbeys. That useless drink costs around 800 shs for a 750ml bottle. Ukikunywa kwa Bar labda ndio ifike 1,500 shs.

1 Like

Chai kwa wingi!

inakubaliwa kulingana na hizi vitu kama NYS

i meant bailleys sorry

Log island manenos

[ATTACH=full]66013[/ATTACH]

Pink handles treat :p:p:p:p

[SPOILER][ATTACH=full]66014[/ATTACH] [/SPOILER]

1 Like

nimewacha pombe

chieth usituwekee ujinga hapa

Club signature Eldoret hapa VIP lounge na mtotoz Wa campus.

Seriously purr, are you on a rebound? This is very worrying from you.

1 Like

weka cd mpangoni, hao ni wabaya

1 Like

Hiyo ni lazma, I have dependants.

safi boss

1 Like