ULEVI SACCO

Nimelewo saa hii. chrome na chrome hapa pole poleee.

munarewo wapi talkers

Mimi sirewi. Kurewa Ni jioni

Tunafanya kazi kwanza

[ATTACH=full]60108[/ATTACH]

2 Likes

wacha kutusumbua meffi

1 Like

Holiday iko vipi?

poa lakini sai nko gym

Mimi nalewa lakini sisemi wapi. Beer @160. Hizo za guka za 540 akunywe peke yake. Mkojo ni the same.

1 Like

Tafuta carpet ya mancave mjamaa. Hii mambo ya kutumia blanketi kama carpet sio poa.

1 Like

Uza x6 ununue kamera omwami

2 Likes

Sema tu ni jug daniels unakunywa pale Aston Villa.

1 Like

Metal tumbler, whisky, Sheppart…
[ATTACH=full]60131[/ATTACH]

1 Like

Jameni kwani kila mtu hapa ni jamaa wa migodi? Huo mkono jo!

3 Likes

Nope, my usual Pilsner.
I like places with people. Not those high end places ati mpaka hauwezi ssssshh waiters. [ATTACH=full]60132[/ATTACH][ATTACH=full]60132[/ATTACH]

1 Like

Niko pilsner ya tatu, two more niende kwa wife

https://therumhowlerblog.files.wordpress.com/2015/05/gilbeys-vesper-sam_1579.jpg?w=200&h=366

1 Like

Glass ya whine ni ya nini? Baba Clichy?

1 Like

In the house, had drinks all week long sasa ni detox.

[ATTACH=full]60150[/ATTACH]

Four more down the line, kwani nyinyi watu Wa kulipwa mshahara late mko na pesa aje? Pombe sita kwa meza nikiuliza ni za nani naona ni acquaintances, siwajui poa.

1 Like