ULEVI SACCO

Nimelewo saa hii. chrome na chrome hapa pole poleee.

munarewo wapi talkers

Mimi sirewi. Kurewa Ni jioni

Tunafanya kazi kwanza

[ATTACH=full]60108[/ATTACH]

wacha kutusumbua meffi

Holiday iko vipi?

poa lakini sai nko gym

Mimi nalewa lakini sisemi wapi. Beer @160. Hizo za guka za 540 akunywe peke yake. Mkojo ni the same.

Tafuta carpet ya mancave mjamaa. Hii mambo ya kutumia blanketi kama carpet sio poa.

Uza x6 ununue kamera omwami

Sema tu ni jug daniels unakunywa pale Aston Villa.

Metal tumbler, whisky, Sheppart…
[ATTACH=full]60131[/ATTACH]

Jameni kwani kila mtu hapa ni jamaa wa migodi? Huo mkono jo!

Nope, my usual Pilsner.
I like places with people. Not those high end places ati mpaka hauwezi ssssshh waiters. [ATTACH=full]60132[/ATTACH][ATTACH=full]60132[/ATTACH]

Niko pilsner ya tatu, two more niende kwa wife

https://therumhowlerblog.files.wordpress.com/2015/05/gilbeys-vesper-sam_1579.jpg?w=200&h=366

Glass ya whine ni ya nini? Baba Clichy?

In the house, had drinks all week long sasa ni detox.

[ATTACH=full]60150[/ATTACH]

Four more down the line, kwani nyinyi watu Wa kulipwa mshahara late mko na pesa aje? Pombe sita kwa meza nikiuliza ni za nani naona ni acquaintances, siwajui poa.