ULEVI SACCO

Weka stamp unakunywa nini na uko wapi?

Nakunywa vumbi hapa mlolongo…

[ATTACH=full]48990[/ATTACH]

HUU UJINGA PELEKEA ULE NYANYA YAKO NEFERSYPHILIS

Chokosh lichott wacha machungu, kwani leo mhindi haku kurushia ka gilbeys? umebaki parking kama lorry pale mlolongo!

Mtu wa sewage niaje

Swafi budah

These peasants who drink daily really astound me

[ATTACH=full]48992[/ATTACH]

Wewe ni wale wa kutusumbua mwisho wa mwezi after umelipwa hatuwezi lewa Kwa amani. Kupiga budget ya tei pamoja na rent.

hio gilbeys niaje ?

ingia hapo cockpit ukamue momo,ama club 110

Sijawahi na sitawai kamua maraya! Saa nateremsha gaturungi