Ulevi Sacco

Watu waweke stamp uko wapi na unakunywa nini?

[ATTACH=full]149116[/ATTACH] Mama Fatima base.
Very few can relate

5 Likes

Niaje @Meria Mata :rolleyes:

2 Likes

Kwa pigsty nikiteremsha leftovers za festive season [ATTACH=full]149126[/ATTACH]

2 Likes

Salimia VC akipitia hapo.

4 Likes

Shifu @Meria Mata pitia hapa ukipokea thalamu

2 Likes

l can relate,ni kilalo au freshi?

Currently rejuvenating my liver.

Aaaah Wanyua mnazi…hio tembo siwenyi igusa ukiinyua mdomo wanuka mavi…

1 Like

Samaki tamu ila harufu yake mbaya

Wacha urongo…samaki za pwani hazinuki

[ATTACH=full]149258[/ATTACH]

1 Like