Watu waweke stamp wako wapi na una kunywa nini? Mimi Niko indoors na handas[ATTACH=full]115305[/ATTACH]
2 Likes
Unakunyia kwa ofisi?
1 Like
Waaaah
Leo sikunywi hii baridi ya leo ni too much na mimi ni mtu wa outdoor pubs.
Huna glass?! Unakunywa pombe kwa kikombe?
Nimekasirika zaidi all my music gone
1 Like
halafu ni kama ameongeza sukari juu naona tea spoon hapo
6 Likes
Watu huchana na njugu,mnashikisha taksin aje. Ama mambo ni kumeza kila kitu?
What happened?
Kuextend partition
1 Like
Hehe … zake zishashika saidi
Back home
[ATTACH=full]115323[/ATTACH]
Pole
Hope gurus wil help you recover them. There must be a way out.
1 Like
kumbuka kujijenga na ka quarter
1 Like
Umeoga??
2 Likes
:D:D:D
apana leo sijatoka kwa nyumba
1 Like
Alioga jana. By the way @mukuna how was the interview?
1 Like
nilipelekwa mbio sana hao wazee walikuja wakiwa wameamua
1 Like
Hii ni irish coffee☺