Ulevi Sacco

wekeni stamp.
Niko kigali na ninasumbua:
[ATTACH=full]96708[/ATTACH]

Mbisha ya Mnyarwanda tafasari…

Leo ni kahawa with jaber. Heading home now
Sina mbisha lakini acknowledgement ndio hii

[ATTACH=full]96727[/ATTACH]

Utarudi 2…:smiley:

Kwani rwanda ni mchana?

Hawajaonekana bado…saa hii bar iko empty.
Niko hapa nikingojea action nikiskuma pombe pore pore…
[ATTACH=full]96746[/ATTACH]

Kumbuka niko 1hr behind…nilichukua hiyo picha kitu 5:30pm local time

Oooo ndio sababu niko busy nakutumia mbica pale inbox na husemi chochote? Utarudi tu hihihi.
Mimi niko high on Mr. Di, does that count for ulevi:):cool:

Mutzig is my favorite when in Kigali.
Leo tembea pale Car wash pub ama Legends uongee na waKenya

Kuna hekaya pahali…?