Watu waweke stamp wanakunywa nini na wako wapi?
Tuko kwa ofisi bado.Next?
Umeanza mapema sana, news za 7pm zikisomwa utakuwa unachoma mbisha.
Nakuru county napiga Rum kama kawaida.
Tequila shots kwa hao. .
[ATTACH=full]70920[/ATTACH]
Kuna mtu anakunywa hii meza next na anasumbua:D:D:D:D:D
1 Like
[ATTACH=full]70922[/ATTACH] billionaires wacheni kusumbua, Acha nijaribu niewe sober ndo nisumbue,
2 Likes