Walevi wale wametoka job wanaenda kulewa. Weka stamp unakunywa Nini na uko wapi?
Niko local yangu…sema kubooeka job. [ATTACH=full]203601[/ATTACH]
eabl wewe!
Iyo maji si ni zile akina kuria uchota na ku seal pale 44
MTU wangu maji ni maji…labda ile tu ya pale lamba lolo
Can’t relate with the last two words
[ATTACH=full]203637[/ATTACH]