Walevi wale wanaenda kulewa kurelax after a long week. Weka stamp unakunywa Nini na uko wapi?
mjamaa wa kulewa dawa ya hangover ni ? jana nimemeza mzinga ya whisky leo hangover imeniweza am just sweating
Water mob alafu chakula. Nilikua na hangover pia Leo. Just finished 1 liter sparkling water baridi then nikakaranga mayai iko na pilipili and Nyanya nikatafuna na sembeste… Am now recovering
Sabina joy
[ATTACH=full]204144[/ATTACH]
kumbe kuna dawa
Epuka pombe za Kariobangi kama ile ng’ombe uwesmatei.
Good quality whisky has little hangover.
Lasma izo ni kina Best, top secret etc ndio alikuwa akimumunya
[ATTACH=full]204173[/ATTACH]
Drowning my weeks sorrows and thanking the body for having endured
Ongesa McMohan na McDowels pia
Ooooh yes kuna dawa na yesu ndio dawa
William Lawson
Old monk
Zappa
King Robert dry gin
hizo ni poa
Teachers