Ulevi sacco - Nani anaweza flush mzinga ya Gordons

80% proof liqour gone in seconds
[ATTACH=full]219483[/ATTACH]

The aftermath
[ATTACH=full]219485[/ATTACH]

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:p:p:p

hahaha angetoka hapo akunywe maji kama lita moja alafu akule nyama na ugali kwa butchery kabla fobe ianze kuingia system. Naona ameenda kuongezea beer? Did he live ama alikufa :D:D

:D:D:D:D:D:D:D

Aiseee

Anakaa Jakipash @introvert

:D:D:eek:o_OAtapike tu hiyo story idie, ameshashinda hiyo mzinga ya pili :smiley:

Watu ni wenda wazimu, if he doesn’t puke he can easily slide into a coma and die

Niaje my deer.

:D:DSina Gordons

This is how agonising blackouts are made…unaumwa na mwili kisha unadoze…ukijiskia tena bado uko mlevi kabisa na unaumwa na mwili…:D:D…
Reminds me The Game also pulled a similar stunt but aliendelea kurap as if nothing happened…ama ilikua mineral water :D:D:D

Gibleys?

Atatapika nini na hata mate haitoki ,hii nugu ilikunyua bila kukula kitu iko highly dehydrated.

:smiley: waMùnyota

Fombe ,inatakanga ikute chakula kwa mwili ,lakini si the other way round. Hapo aftermath,the state he is right now, niile ,you start pleading with your lord to give you another chance and you swear never to drink again.:smiley:

huyo jamaa ako na death wish kama tano hivi

na jakipash @introvert naona ni kama unachunishwa skuma

That is beyond stupid…

Gaaaay.

The Game alikunywa maji.

halafu akaulizwa kwa interview kama ilikuwa real vodka, akajibu kwa ujeuri sana

Chief full hekaya ni muhimu.