Walevi wale wametoka job wanaenda kulewa wakiwait ball moto. Weka stamp unakunywa Nini na uko wapi?
@123tokambio hii mechi iko channel nijipange mapema mapema kwa firestick
Zile nimeconfirm ni BT sport 2 na Arena sport 1, but najua ziko kadhaa…
Man u ni muthafucka after Chelsea equalized in the late min of the game, mourinho Ali jam alikua anataka kurukia avunje coach wa Chelsea who was celebrating nearby but he was restrained…
juve pia ni muthafucka waliniangushia bet elfu moja nilikua nimeekelea ikaenda…
Sasa hamia markets za corners na cards. Different strategies for different games
BEIN sports 11 wanashow pia…iko poa sana
jirani in my eyes wewe ni mafwi ya dogi ime die
Links?
Nakunywa maji(H2O) kejani. I no longer take booze.
Ushawai ona paka imekanyagwa na gari kwa barabara alafu imekaa hapo for days hadi inatoa harufu mbaya…in my eyes wewe ni hio paka imekufa na imeoza…ghasia
Nunua firestick mkubwa
Dybala scoress
Vijana wako Riot mode, DeGea tu ndie amezuia zuia…
ingekuwa 0-3 by halftime :D:D:D:D
Yaani majamaa wako down na bado wanategea counter attack… Murinyo tactics zimemuisha; hadi mafans ndio wanaambia team ‘attack!!’