Ulevi rant with John doe

Last weekend nilikamua sportpesa hadi Kwa settings… made 35k na stake ya 5k but hii wikendi nimekamuliwa 7k Hadi kwa mkia but isorait maisha huwa hivyo… unakamuliwa ama unakamuana madafaka isorait hic

Did you mean “hic”?

yes mwalimu wacha niedit

1 Like

Hehehe… Mimi ata interface ya sports pesa sijui venye inkaa.pole kwa masaibu.:smiley:

1 Like

Hauna 28k ama rant ni ya nene?

Alipelekea mang’aurû akijua atawin zingine

screenshot ama ufunge domo