Watu wanatoa lock uko wapi na unakunywa nini?
Nilianza na balozi namalizia na chrome kwa rockal
Nachoma maini nikicheki news za tumbilee [ATTACH=full]97065[/ATTACH]
ninapojaribu kutoa lock i end up being drunk
I come from a long line of alcoholics,its an irony mwaka huu sijaguza pombe. Ndio natoka job naenda kunywa dark roast soya kwangu
mbona wataka kunywa leo?
Sinywi pombe leo and probably not any time soon
oh sawa, thot dark roast ni aina ya kileo:D
Blue moon ndiyo zangu leo!
I love vodka and it’s one of the best and it’s 100% Kenyan!
Nyinyi endeleeni kuitharau!..?.
I Love it!!!
:D:D Its a certain beverage,usually taken warm or hot,with optionals like sugar and milk added if prefered…
https://static.jumia.co.ke/p/supameal-7583-160282-1-zoom.jpg
Its been a while… I gat to taste that soon or Richot
Please wachana na hiyo Richot sold in Kenya. If you really must drink a spirit, make sure you can afford the best as you have only one liver. Na ukunywe kidogo tuu. Tumezika wengi in my family.
Sema tu pesa haipatikani …
Reduces your testerones, punguza hii kitu mwanake.
did u knw soya contains oestrogen mimicking components apparently it can turn u into a woman mafeelings mob kaa dem ananyesha
[ATTACH=full]97086[/ATTACH] trying to make a vodka cranberry huku mashinani. …it’s decent so… bottoms up everyone… I’m out…
That’s my favourite kanywaji right there!
Cranberry juice na vodka. Mmmmmmm…
:eek:shait! No more of this stuff!