Saa hii natoa lock na blue moon na passion juice. Kama una toa lock weka stamp uko wapi na unakunywa nini?
meffi simu yako haina picha?
Yessssss jana i did’nt drink. Nime detox ya kutosha…drunk loads of water saizi am feeling fresh. Leo ni leo…
EDIT. Nimestua Blaze :D:D mjamaa alianza action kitambo…
[ATTACH=full]80454[/ATTACH]
Tulisema 2017 mambo ya mbisha na fombe tuashe kwa kina shukabanga
Sheppart ameangusha WD40.
Nimeamua niweke tyre…
[ATTACH=full]80455[/ATTACH]
bado…leo ni alele kilo mbili na kuteremusha na arthur zisizopita tano…lets make them 6…
Baba ameleta mvua Bungoma, baba tosha
bte sidi hutumia wd40 kuclean weapons its a shortcut but gets the work done
breed a pitbull ntanunua kwako kwa bei ya jioni
Mimi na blacker label hapa Merica Hotel… mama wa Nakuru wasupa kuruka.
kunywa busaa pole pole
I use it for everything.
Squeaks on doors, earth ya gari, jammed fasteners, shining finished bikes for a good photo, etc.
uko naks
Niko Naks na kienyeji hapa Merica
kuja ushike mzinga hapa loco inaitwa lobster koinange
Lobster naijua … such an old joint built early 90s. Mzinga utashikiwa Leo boss. Unakunywaga nini?
just january manenos hunters
Sawa mbirrionaire
[ATTACH=full]80461[/ATTACH]
Sportsman + Pilsner = makanga:D:D
Lakini enjoy yrself