Wasauthfrika natambua ni Malema ,Zuma na Mandela
Quadrey, Omosh amesema wewe ni mujinga lakini nimemkanya vikali.
[ATTACH=full]173806[/ATTACH]
Na Zodwa Wabantu?
So what uwesmake? haijalishi unatambua nani south africa. ata wewe unatambulika sj tu.
anko haujui " maliziweh Nkosingiphile…"
Sasa anko tukuchinjie mbuzi ama
anko kam kawangware.[ATTACH=full]173808[/ATTACH]
This friend must be very loyal. Iko wangu moja (RIP) Alikua ananingoja kwa gate nikitoka shule primary. Tulikua na urafiki wa ukweli if ever there is such a thing
Kwani Omosh hana freedom of speech?
Ng’ombe mujinga, @uwesmake nani amekuuliza…jinga!
Hio ya katikati ilioshea bwana nyumba.
Meza Gibleys pole pole omwami
Oya…
Uber ya hapa hupandiwa wapi?
I know.
I trust this Dachshund with my life.
Dogs are generally better people than people.
Yeah yeah yeah…ama wacha tu
Na Sito Mbeki?
Sandile Shezi
The Bellamy Brothers - Lord Help Me Be The Person My Dog Thinks I Am.
Thikia hiyo Makanika Murefi…and give the dog a tot.
Cc: @pseudonym
uncle Uwes