Ukishinda bet unawekewa NSSF na SHA. Waah!

https://x.com/ntvkenya/status/1985359451545887081?s=19

4 Likes

Hii serakali imejaa upuzi maradufu.

3 Likes

Enyewe huu ni ujinga.. vile @hakimoto huwa amechoma bets kama kila wiki ata save lini jameni?

Kila wiki game moja humtoa kwa birrions.. alafu ile day ana win Kasongo anakula zake kama sigisty one percent, Kra wanakula zao kama 20 percent. Anabaki na 19 percent, kasongo anachukia za housing levi na za kutumia barabara. Elder umemalizwa tu hivo..

3 Likes

Hapo Sawa

Ruto akona obsession gani na NSSF na SHA?

4 Likes

Hapo ndio anaokota pesa ya bure

1 Like

Hii ni upuzii

1 Like

Kabisa. Aim ni kumumaliza mkenya kwa njia zote zile

1 Like

Housing levy, SHIF na NSSF ndio cash cow za Kasongo. It’s where he’s getting all this money he’s dishing out everywhere. I personally hate betting and gambling but hapa anafanya gamblers makende vibaya sana.

1 Like

Ruto is a piece of shit lakini hapa nakubaliana na yeye. Afadhali pesa ya bet ikulwe na kina Ruto kuliko iende hizo East European countries.

1 Like