"Ukiona unatokea job simu ikiwa 80% jua umetumika vizuri"

endelea kurauka kuenda kwa muihndi

What if you carry the charger to work?

same wozzap group,

Itakuwa aje 80 percent na kidogo kidogo mtu hujipata Kijiji akicheka chokosh wars, elders wakimalizana :smiley:

huwezi shika simu buana hata pesa ya bundle haipatikani

Nunua bundles za mwezi

Mimi nabakishanga 35% by 7pm

wengine wetu we are busy 24/7 hatuna hio time ya ku idle kama wewe na @sludgist

Hehe, that’s the difference between an employer and an employee. Mimi watu wananifanyia job.