Kutokuwepo kwa JF kunawaumiza wengi ambao walikuwa wanaripoti pale kila siku kama kuchukuliwa “roll call”. Niwahakikishie tu kuwa JF itarudi, ila itarudi kwa namna ya tofauti ili iendelee kuwa huru. Hata ikibidi kufanya maamuzi magumu. Upande wangu na wa baadhi ya marafiki zangu ambao tulianzisha mtandao huu na mingine tunafikiria kuchukua njia njia nyingine maridadi. Msikate tamaa wala kuumizwa sana. JF haijafungwa na serikali, tumeifunga wenyewe (wanachama na waanzilishi) hadi tuone namna nzuri zaidi ya kuirudisha ikiwa huru, yenye kutetea uhuru wa maoni na habari, na haki ya wananchi kupata taarifa kutoka ndani ya nje bila mazungumzo yao ya faragha kuingiliwa kati.
Mzee Mwanakijiji
C&P
innaa
June 13, 2018, 5:56pm
3
ata sijaelewa sijui kichwa kikoje
bora waka isajili nje ya tz
tupo pamoja sana, nimepata shida asee ikanibidi nijisajili insta kuifatilia JF ikanishinda bora imerudi humu
Meraa
June 13, 2018, 7:51pm
7
Mlete mzee wako Wa matunguli
Mzigua ndio aliniita hapa.
I love her so much.
Asante pia kwa kunikumbuka.
Ila una roho mbayaaaaaaa.
Yani ushagua hadi senior na huku iambia
Enda huko.
Inabidi tuongee kinairobi jiwe asije akatukamata
Mzigua90:
Kutokuwepo kwa JF kunawaumiza wengi ambao walikuwa wanaripoti pale kila siku kama kuchukuliwa “roll call”. Niwahakikishie tu kuwa JF itarudi, ila itarudi kwa namna ya tofauti ili iendelee kuwa huru. Hata ikibidi kufanya maamuzi magumu. Upande wangu na wa baadhi ya marafiki zangu ambao tulianzisha mtandao huu na mingine tunafikiria kuchukua njia njia nyingine maridadi. Msikate tamaa wala kuumizwa sana. JF haijafungwa na serikali, tumeifunga wenyewe (wanachama na waanzilishi) hadi tuone namna nzuri zaidi ya kuirudisha ikiwa huru, yenye kutetea uhuru wa maoni na habari, na haki ya wananchi kupata taarifa kutoka ndani ya nje bila mazungumzo yao ya faragha kuingiliwa kati.
Mzee Mwanakijiji
C&P
Mke atekwe nyara, halafu akwambie eti amejiteka atarudi salama!
Ndo hii.
Tim_Wu
June 14, 2018, 6:59am
17
Mzigua90:
Kutokuwepo kwa JF kunawaumiza wengi ambao walikuwa wanaripoti pale kila siku kama kuchukuliwa “roll call”. Niwahakikishie tu kuwa JF itarudi, ila itarudi kwa namna ya tofauti ili iendelee kuwa huru. Hata ikibidi kufanya maamuzi magumu. Upande wangu na wa baadhi ya marafiki zangu ambao tulianzisha mtandao huu na mingine tunafikiria kuchukua njia njia nyingine maridadi. Msikate tamaa wala kuumizwa sana. JF haijafungwa na serikali, tumeifunga wenyewe (wanachama na waanzilishi) hadi tuone namna nzuri zaidi ya kuirudisha ikiwa huru, yenye kutetea uhuru wa maoni na habari, na haki ya wananchi kupata taarifa kutoka ndani ya nje bila mazungumzo yao ya faragha kuingiliwa kati.
Mzee Mwanakijiji
C&P
Huyu mtetezi mkubwa wa dikteta Magufuli ndo wa kusema haya?
Jeop
June 14, 2018, 7:56am
18
Nitakuelezea kipenzi changu:cool: