Yesterday was with a friend tunamesa vitu za watu Wasima polepole upto around 5, looking around saw his wife amejifunga vitu kwa kichwa craning her neck kama mongoose kila mahali…
I beat a hasty retreat kwa Loo after telling him ndo huyo don’t know mahali alienda but after some few minutes when I came back found him happily seeping his drink akicheka kabisa ati leo karibu tupatikane!
This is like the tenth time this is happening hadi tunamuitanga mashida, hua anapark gari at a different club anaenda kwa ingine…
Mimi kunguru haiwes nifanyia hivyo walai!!!
Sikuelewa vile kulienda lakini nikama landlord alipea caretaker 500 kulipa deni ya kuku iliopeanwa kwa harambee na dadake
Umekula mavi kaka
:D:D
:D:D:D:D
That must be msapere… Some even worship their wives. Ujinga mtupu
Why the hec did you run and hide? :D:D
Ama you are a cross dresser
Pengine hataki ndrama
They worship their wives ilhali kikuyu women worship satan? kweli ni ujinga.
If you start running away from your friends wives na wako je?
:oops: We do ?
- questions:-
are you a Kikuyu? Are you a woman?
It would beat logic to ask if I wasn’t , wouldn’t it ?
It happened to me many years(8yrs actually) ago,my friend and I were irrigating our throats at a place in Rongai called Poko a Poko(sijui kama bado iko).The guy is from Rongai and I had travelled all the way.
Time flew very fast and at around 2am Rael,Chris wife came,I got to know of her presence when I heard her tetesha Chris.I turned towards her to say hi,suddenly sound of breaking glass rent the air and I blacked out.
Asubuhi kitu saa moja nilijipata na kidonda kubwa kando ya jicho and the bar patron apologizing yet asking me to settle our previous night bill.They showed me a place to have my wound attended to after which I boarded a matatu to town then to Kahawa.
From then on a friend akioa huwa najipa shughuli,I nearly lost an eye.
Chris came a month later to apologize and refunded part of that day’s expense but our buddyship had been ruined.Rael couldn’t be trusted.
So what am gathering from this thread is that some women/wives are uncomfortable letting their husbands spend time with friends(male)?
I thought a normal lady/wife would love to see her man stroll to the local every other evening…otherwise you would be crowding her at home.
He he he… Apana nakuanga nakaumama
Last tym I tried to intervene niliambiwa kwanza wewe unapenda kufuatafuata bwana yangu sana kwani hua anakutomba
:D:D:D:D:D:D:D
ungepiga huyo bibi kibare kama ya yule mchainis - halafu bwana yake akijaribu kuingilia umdunge kisu ya macho na uhepe.
Newly weds tabia mostly…
Lakini kuna wengine who are generally psychos.
We have a buddy kwa local whose wife is a licensed gun holder. Bibi akipiga simu aulize ‘wí va’ ? Tunamwambia ‘keti pareeee priss’