Ujenzi wa Ukuta mererani; na propaganda za kuua uchumi wa kaskazini.

Naongea hili kwa masikitiko makubwa ndani ya moyo wangu mkunjufu kwa Nchi yangu.

Sio kweli na Nina hakika kuwa ukuta wa kuzunguka machimbo ya mererani haujalenga kuua uchumi wa watu wa mikoa ya kaskazini.

Uvumi huu unazagaa na ukiachwa kuendelea kuzagaa utaleta mtafaruku usiokuwa na lazima.

Tufanye siasa za Hoja na wala sio vioja na kuzusha mambo.

Nimerudia kusoma hata sijaelewa ulichokiandika

Vita hii ya kuikomoa kaskazini jpm kaianzisha,wamefikia hatua kusema hata maaskofu wanapendelewa kaskazini,kumkabidhi kichaa taifa ni kuliangamiza

Heche kawaambia madini hayaibiwi kama Stroke unavyofikili madini yanaibiwa kwa mikataba mibovu inayoingiwa na CCM na Serikali yake huku mkizuia bunge live na mitandao kutokuwa na sauti
Hitimisho ni kwamba kamwambie aliyekutuma tumefeli kuzuia teknolojia na bado wanatuanika uozo wetu.

Uchumi wa kaskazini hauwezi kuyumba kule kuna wapambanaji. Hivi jiwe anajua kuwa wachaga wana biashara kibao Kenya kuanzia restaurants mpaka baa

Lengo la Serikali ni kuongeza mapato yatayoiwezesha kuwahudumia Vyema wananchi;

Kwa Hilo wamefanikiwa kwani mapato ya Serikali kwa sasa ni zaidi ya Yale yaliyokusanywa kwa mjumuisho wa miaka mitatu huko nyuma.

Na kuna wafanyabiashara wanaopenda kukwepa kodi wameficha fedha zao nchi jirani na wanarun biashara zao hapa Nchini kwa kutoa cash nchi jirani ; sasa kama hawajali nchi Yao sijui wanategemea nani aijali.

Biashara ya madini wameidhibiti kama walivyodhibiti zingine. Na wanaelekea kuziua. hapa hoja iwe kuwa kuna mkakati wa kuua uchumi wa Tanzania.

NYERERE ALISHINDWA LKN YEYE ATAAIBIKA TU.

Lisemwalo lipo…

Cc: @Mahondaw

Mleta uzi wewe ni pumbafff kama kipara ngoto.

Hoja yako hapa ni ipi??

Rais aliyeko madarakani ana mental issues! Huu ni ukichaa! It’s simply as that!

Awamu hii mtaimba kila ngonjera na hatutajali kwakua ndicho ambacho majority ya watanzania walikitaka na wanakitaka.

Wapinzani walikuwa wanatuimbia nyimbo za kudai Rais mwenye maamuzi na asiye lege lege kama walivyokuwa wanadai; amekuja huyu ananyoosha tu bila kuangalia sura.

Wacha dawa iwaingie vizuri.

Huyu rais ana matatizo ya akili! His demeanor speaks a million words! Ana matatizo ya akili, period!

Upinzani wamefikia uwezo wao wa mwisho kabisa wa kufikiri na Hiki ndicho wanachoamini kimebaki cha kuwasaidia; Hakuna anayepoteza muda kuhangaika na huu utoto wananchi wanamkubali Rais wao na wanakiamini kama mtu sahihi kuisimamia hii nchi iliyokuwa imetekwa na wachache; Hakuna anayefurahia hili Kati ya wale wanufaika wa mfumo usiokuwa na usawa!!

Stroke unaitwa kule kwenye uzi wa mkuu Mpendakukimbiakimbia nasikia Askofu karusha jiwe kuelekea Lumumba!!

Raid mwenye uamuzi was hekima.lakini uamuzi was wendawazimu si rais anayefaa

Maslahi yanapoguswa hata kama maamuzi yaliyopelekea hayo maslahi kuguswa Katika macho ya wengi kuwa ni ya busara; wale ambao maslahi Yao yameguswa lazima waone uamuzi huo kuwa hauna busara; hivyo kuifanya tafsiri ya neno busara kuwa tegemezi ya factors mbali mbali

Ngoja nitunze mkojo wangu. Hivi dume zima kushikiwa akili na mwanaume mwenzako unajisikije?