Uhuru to address ze nation at 1pm

Mnakataa vaccine.
Now see. Lockdown loading.
Kuleni ujeuri yenu.

Afunge huyo takataka ghasia. No one is going to bembeleza him

Afunge haina shida.

Probably no intercounty bila card ama government services. A new kind of corruption courtesy of Jayden

Tuko tayari Jicho Nyanya just bring it.

Respect our dear leader sindio johnpombe

Lockdown tumeshazoea.
I’m waiting for more clarification about our teenagers getting jabs when they go back to school.
[ATTACH=full]405042[/ATTACH]

These people have interests in the tourism, hospitality, entertainment and transport sectors. Doubt a lockdown is coming during the festive season.

Wasifunge bana Niko mbali

Car few tumezoea haiwezi saidia. Just have strict measures. Watu wadungwe, mask up, be careful.

Toto rockdown for 10 days.

Wapi hapo?

niaje vaccine haiwekwangwi kwa fridge siku izi?
siku za kwanza, walitumia ndege refrigereted kuzileta wakaweka kwa store kama zile za nyama, lakini saa hii tuko freestyle

nini ilibadilika banae?

Kagame has imposed a curfew and shut all pubs and banned all meetings. Uhuru should do the same here to protect wananchi against omicron.

https://pbs.twimg.com/media/FGpVOQmXMAQR4pD?format=jpg&name=small

afdhali ninyonge nikuwe sperm donor hiyo pesa nihongane nipewe kadi na 100K na nisiwahi dungwo mapoison zilikuja na meli

Microphone ni homa tu ya kawaida

:D:D:D:D:D
Fungiwa na huko,tabia zako mbaya zibaki kule uko

[MEDIA=twitter]1472839965507825666[/MEDIA]

Omicron