lakini pia unye alikaa tu chini akaona hawa wameru wacha tu niwape 3b za miraa watulie…na ukaona venye walisherehekea…jamaa alipata kura ka sjui ngapi toka kwenu term ikiisha ndo anawatolea kakitu ka kuwafunika macho.lol
iyo ni madharau mbaya sana
lakini pia unye alikaa tu chini akaona hawa wameru wacha tu niwape 3b za miraa watulie…na ukaona venye walisherehekea…jamaa alipata kura ka sjui ngapi toka kwenu term ikiisha ndo anawatolea kakitu ka kuwafunika macho.lol
iyo ni madharau mbaya sana
He he. How was the money disbursed/used?
hii pesa ni wakubwa wamegawana in disguise ya “miraa” if at all imepeanwo. Miraa kitu gani.
true hio ni pesa ya campaighn imepatikana
Positive news… Wacha serikali itoe pesa kwa wanainchi