Kasongo pia ana such plans… massacre ya kenyans wakikataa uongozi wake duni.. can someone please bookmark my post. JSKS nakuonea farthest na plans zako za kishetani…
3 Likes
Huyo tunafinya kwa debe. Halafu we extradit him to Sudan.
2 Likes
Hapa ni kumpiga vita kali kabla tuende kwa debe… hapo ghaseer itajitangaza rais na atume majeshi watunyoroshe. Itakuwa noma sana. Nikaanze kutamba a week to siku ya debe. Tuna deal na KIMODA. Game plan lazima iwe ni kumaliza game first half, second half itakuwa tricky juu itaingiza ma sub.
Ni we deal na wale wanawekwa first half tuwahemeshe hadi watii.. ndio ma sub waingize njeve… tuharibu game plan yake mapema.