Ufala SACCO - Jepukadi Etishen

We all miss our resident caddie jimmy m for all the contributions on tech, don’t we? Miss him no more! Hapa ako pale golf course anafata maagizo vilivyo, eheeeee!

[ATTACH=full]113516[/ATTACH]

@Purr_27 alipatana na @kiLo- ikabidi apike mashakura, especially pilau njeri ilikuwa lazima ikuwe agreeable to either of them, so…

[ATTACH=full]113517[/ATTACH]

Najua amepika mapochopocho akiota ka-wedding itakuwa hivi,… @kiLo- ujue lazima ifike hii standard msee

[ATTACH=full]113506[/ATTACH]

@wildfrank amevuta mabangi, na ES @Meria Mata amejaza taksin mdomoni… alafu mambo ndio haya basi…

[ATTACH=full]113515[/ATTACH]

Tikiteta anataka kuenda kutafuta momo lakini khulichi anakula polepole…

[ATTACH=full]113514[/ATTACH]

Lakini hii side nyingine, mama pima @Miss Finest Wine anaangukia stiff porridge with sautéed kale and poultry head marinated in vinegar, garnished with unprocessed guacamole (makondofia) ndio zake

[ATTACH=full]113511[/ATTACH]

Siku kadhaa tumbo iliuma mama pima juu hiyo mix haikuwa ati nini. Kuenda kuona daktari @Luther12, akapewa prescription saa hiyo hiyo, bila stress. Akaambiwa akanunue hizo madawa huko mbali kwa CHEMISTRY, eeeeeeh!

[ATTACH=full]113497[/ATTACH]
Hapa tunaona lorry ya shemeji @Wakanyama ikibeba manure, I mean, zile mashakura ziko hapo juu zikiwa zimeexpire pamoja na kipindupindu zikipeleka huko mbalia…

[ATTACH=full]113501[/ATTACH]
Hii story yote ikiendelea, @culture alikuwa anaangalia mtaa vile inakaa. Anakura tu kwa masho akiwa amejiseti mbele ya keja yake, jug ya uji anasip tu mossmoss…
[ATTACH=full]113498[/ATTACH]

Anadhani ataona kamtu kakipita, kumbe mwenye alikua anangoja, ule @Female Perspective ameenda swimo rive iko hapo kwa kona kando ya market…

[ATTACH=full]113502[/ATTACH]

On that subject, tunajua ati kuna ule @Chloe blondestest of all aliambiwa na @Gio afanyie kuku dressing ili ipendeze, alafu msiseme ati hakufata maagizo. Hiyo ni yenu na watu wa kwenu…

[ATTACH=full]113505[/ATTACH]

Closing the SACCO ni kubwa @introvert akiwa amefika, wacha nimuache na @Chloe asaidiane juu naskia picko ya @Chloe ya mjengo iliuma ngumu akibeba kokoto kupeleka site…

Introfart huyu…

[ATTACH=full]113504[/ATTACH]
Gari ya matam ni hii
[ATTACH=full]113518[/ATTACH]

Isorait ruffmukingo…

https://kenyatalk.s3.amazonaws.com/2017/07/176999_f5cae3b816def9fc1030b0220d1e4b51.jpg:D:D:D:D:D:D:D:D:D:Dwacha ujinga

:smiley: :smiley:

:D:D:D
Bure kabisa.

:D:D:D:D

Day has been made

Hehehe
Huyu myamaa hajatuambia poa.
Pitisha puff ndio niweze kumjibu

@Colombo-Combolo leo ameleta nduthi service…
[ATTACH=full]113524[/ATTACH]

@1776 ameweka timber spoiler kwa Fauziah.
[ATTACH=full]113525[/ATTACH]

Itabidi nmeblaze mzima… Hiyo kuanikwa haidai ubakishe nyongi.

Tulia Elder!

Waana piu piu

Blarrri baga

Hapa ni ufala sacco. kama unatafuta seriousness huku, sauri ni yako.

@Liberty when you are saying a thousand misas,this is what your congregants are upto
[ATTACH=full]113529[/ATTACH]
But when @pseudonym and @DeliciousShiko had a tete a tete,the fight was over even before it started. Someone had brought a stone to a fist fight.[ATTACH=full]113530[/ATTACH]
@Umashi wanted to fikisha threashold…shot mbili tu he said[ATTACH=full]113532[/ATTACH]
Akaambiwa bado hajahitimu.
@uwesmake akajitolea kuwa instructor
[ATTACH=full]113533[/ATTACH]

Exam saa ile ilikam, @Born Tao
[ATTACH=full]113534[/ATTACH] Results hazijatoka

@Ruffneck:D:Dlike it. Hehehehehehe kwanza coz I am not well. You made me laugh. Wooi thoughts of home.

:D:D:D:D

poh, hebu mulale tunafunga mtandao

:D:D:D

Wwoooiiishe. Get well soon madam…

He cracked me up. I cannot stop laughing. Woooi hivo ndio anatubeba??. One of these days nitamchorea viREE mimi humyita. Hilarious though.