[ATTACH=full]63318[/ATTACH] mciseme ati nawasoma,ikiingina @123tokambio inbox asap
Hio ya Celtic unaifeel aje? Vile last time walikamuana na Man chieth (ofcourse kila game na chances zake) mimi naona nikiwekerea O1.5, but kwanza wacha nifikirie hio mambo kwa uzito…
Kla game na uzito wake,akuna vle Celtic wangefurahisha city,Alf on the other end monglebach ni wagumu
Hi game inaeza toka 0-0
But to be on the safer side u 1.5 ht
Dembele ako poa, naona Celtic ikishinda hiyo mechi.
Hyo boy achana na yye,ame earn national call up waneza toboa lkn scores ndio itakuwa chini kiasi
Games za Borrusi zinakuaga high scoring, either wafungwe mingi ama wafungane mingi, sportpesa sio wajinga wakieka odd ya 1.55 under 1.5 first half. Game ya Barca messi amerudi?
Achana na yule 15 year old, nabonga about yule wa France. Alisumbua Man Shitty sana last time.
Dembele si ni wa dortmund sio mochengladbach ama unasema mgani?
Kuna mwingine wa celtic, mambo mbaya. Anaitwa Mousa, ule wa Dortmund anaitwa Ousmane, halafu kuna that 13 yr old wonder kid anaitwa Karamoko pia ni wa Celtic.
Mpaka na bei zao[ATTACH=full]63326[/ATTACH]Messi yupo
Toure siku hizi anawekwa kwa subs?
Champions tu ndio nmeona aki feature kwa sub
And you were on point kwa hio game ya Celtic v Monchen. But sikuwekelea any…i sat out on this one
Arsenal skuizi ni sure bet :D:D
Man City wamefungwa mabao za upuzi sana. I can’t believe they let Hart go.
Na kama kawaida ‘kateam kamoja tu ndio kameangusha bet’ Izza jo @Shari but that prediction was spot on…
Guardiola anapokea msomo one game at a time…
Ozil the assist master nets his first hattrick. I hope that the media would quit throwing shade on him now.
World class player
Game mbili, barca na cardiff
Hehehe…wah! Nlikuwa nimecheki ni kama alieka x2, kumbe…