Hi,
Haya sasa wale wanaojua kuhusu mambo ya uchawi na ushirikina mkuje hapa.
Ningependa kujua nani wakali wa uchawi kati ya Watanzania na Wakenya.
Kama mjuavyo lazima katika mchezo mshindi lazima awe mmoja.
Wanaojua kuhusu mambo haya mkuje hapa
Hi,
Haya sasa wale wanaojua kuhusu mambo ya uchawi na ushirikina mkuje hapa.
Ningependa kujua nani wakali wa uchawi kati ya Watanzania na Wakenya.
Kama mjuavyo lazima katika mchezo mshindi lazima awe mmoja.
Wanaojua kuhusu mambo haya mkuje hapa
Sisi wakenya tunajua uchawi wa Tanzania ndio mwisho…ati ukitembea barabarani unapatana na jacket imekwama kwa hewa…maajabu haya.
Ha ha haaaa
Wakenya nina wasiwasi nao haiwezekan wakaukalia kimya huu uzi.
Isije kuwa Sumbawanga ndo wanakuja kununua kwa wakenya
@mshana jr
Hivi yupo huku kweli au ndo tushampoteza
Nilimuona. Yupo kwa ID nyengine
Nammiss sana kaka huyu
Hivyo wakenya wapo vizuri kiuchawi?
Hahaha
Mi sipendi kufuatilia mambo ya watu, Wachawi mkuje mtueleze
Eti wachawi mkuje mtueleze ha ha haa
Aisee
Kuna siku niliona katika channel ya k24 kuna mmama alienda kwa mganga kuhusu mume wake kutembea na michepuko basi yule mganga alifanya mambo yake,Mwisho wa picha yule mume wake alienda sehemu akajikuta amegandana na mwanamke aliokuwa nae,nilibaki kushangaa tu
Tetesi tu…
Aisee…wanatuzidi…kuna mwingine niliona mume alitembea na mke wa mtu…akaoza uume ukawa unatoa wadudu…
::oops::oops::oops::rolleyes::rolleyes::oops::rolleyes::rolleyes:
K
Weli mkuu…ndo maana nahisi wapo juu kwa haya mambo