Uber Tuk Tuk

Naskia Uber wameanza tuk tuk bizniz huko Mombasa. Makanga wa tuk tuk @It’s Le Scumbag utaanza kushare lunch na Uber.

Cunt relate.

Taxify walianza kitambo sana. Been really good

Mwenye ataanzisha platform ya malaya yenye mtu anapick online na kulipia online and incase hayuko satisfied anaeza file dispute will have made it in life

:D:D:D

I think it already exist. Nimesahau jina

Nimeona moja iKibingiria kiambu road nimecheka mpaka Karibu nigonge Gari mbele yangu. So near the cid office pale obado anakula denghu rumble strips za hapo. A lady driver slowed her pace lakini kulikuwa na tuktuk nyuma hizo as uber, I think the brakes failed ama tuktuk ilipigwa na mshtuko coz the way it swerved and flipped like a piece of bread was just too epic. Thereafter windscreen ilingoka,dereva alikuwa amekaa chini passengers walikuwa na masufuria kichwani. Just an interesting scene. Jamaa wa boda alismama akaaiinua akisema toa jam hapa na hii “ndingoingo” na akaenedelea na safari yake. Still funny thinking about it. Glad watu hawakuumia.

@Okwonkwo washana na mimi… Been doing just fine without them thank you very much… Incidentally there are just too many tuktuks around these days that returns are starting to dip to new lows.

What I hate about tuk tuks is the pollution their primitive 2-stroke engines cause. You can feel the toxicity in the air.

The noise. You forgot the noise…tuk tuk tuk tuk tuk…

You’ll never see heaven. :D:D:D