TZ mko chini

…na itabakia kuwa ivo:D:D

Yes, hata kwa map wako chini yetu

wa kenya kwa mikwara bana hamna anaewashinda tunawachora tu

Sasa umeona tu uanzishe dick measuring contest thread? MBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAFFF!!

Ki vipi Chalii, ki raslimali za asili, uchumi, IQ au riadha. Najua mnatuzidi kukimbia mbio fupi na ndefu. Mengineyo sijui

Nakubaliana nawe kwa 100%

[ATTACH=full]176046[/ATTACH]

:D:D WTF man! Hata jina Kenya imegeuka nini sasa?

ha haaaaa nayanukuuu maneno yote then wakuu walonituma kuwatangulia nitawafikishia

hakuna asiyependa CHINI hata wewe umepatikana kwa kutoka CHINI

mtoto wa nyumbani nakuona

Mnatuchokoza eh? kuna ile thread ya “Dar vs Nairobe” karibu uione kule JamiiForums

hahahahaha nani huyo?

It’s a Coup d’état, bongotalk loading.

mkuu hah haaaaaaa

we have been forced to come and interact here, no way aisee. Our JF is no longer active

kwelimkuu kikubwa tumepewa chumba twaweza endeleza yale ya awali japo tumepoteza uzi maridhawa kule

:(our JF dah…!..aisee Trump hakukosea kusema Arika ni mashii…tobo

Word.

Na hasa upande wa good governance,