[ATTACH=full]170260[/ATTACH][ATTACH=full]170262[/ATTACH]
CARPETI ni nini kwa kamusi ?
:D:D:D. Hawa wenzetu wana mambo kweli. Lakini sikujua lorge nini.
https://lp.vg/emoticons/smilielol.gif wanamaanisha lodge I think
niaje @Yunomi
Niaje man umerauka mangware ama uko vector ukikunja barmaid
kukamua barmaid ni muhimu baba
Ni muhimu lakini lap tatu na bado anadai
Hehehe this reminds of jana was talking to a certain armenian na akaniuliza my name nikamshow
And she was like i cant talk to you…nikaamuuliza mbona…and akadai ati my name is so disrespectful…nilipoenda google kucheki meaning nilibaki kinywa wazi.
don’t judge a man by the brokenness of his English, it means he understands another language.
Lorge ni Lodging kwa lugha ya kiswahili
Na hilo neno “Carpeti” ni kule kunajulikana kwa Kiswahili kama “utohozi”.
Ni kuchukua neno kutoka kwa lugha nyengine na kulifanya neno la Kiswahili. Kwa mfano, eropleni, baiskeli, jenerali, sekritari na kadhalika.
:DNiaje @Yunomi
Lakini kwa lugha sanifu carpet huitwa Zulia
Mkeka.
ngombe , kula makati kwa trump polepole
mkeka ni mat kwa kiingereza msela
msenge niaje
kama wawashwa sema nikutaftie mme.
mat ni mbacha