Two weeks ago a bag of cement nilishika na ksh 760

Alafu uliona affordable house hazina place ya kuanika manguo,I wonder iyo ilipita aje ao ma engineer

Hio ni korona period manze. Hata mabati na ma D10 zilikuwa zikichezea apo.

Sjui ile Simiti ya 42.5 imefikia ngapi kama hii ya kawaida ni K

last week nmeshika na 930 hapa Kimilili

Next week sijui itafika ngapi

Hio ndio mimi huwa natumia

@Yuletapeli unataka evidence?

Mimi niko na beef na kasongo. Ukijenga apartment zako hapo ruiru Oj ndio utajue bei ya d16 inabadilika kila siku. Chema wanakuambia bei ya chuma wanakupea daily(bei ya leo sio ya kesho). Kesho iko chini, kesho yake iko juu, yaani kasongo ametumalisa. Simiti hutoka 700 hadi thao kimchezo tu.

Kathiongo must go.

College Accuse GIF

Anaitwa shenzi

Add images

ata balcony hasina…fuana fuana

Ni simiti gani kwanza?..Quality matters.