Two incidents sparta alitandikwa kama burukengee

Incident no 1. Sparta was in kamuiru primary school,na closing day ndio ilikuwa time ya general cleaning.
Boys wanaendea maji na girls kazi yao ni kuosha…
Closing day ilikuwa ile siku iko na furaha juu munaenda one month nyumbani,sasa iyo siku ni ya kujibamba ukipewa report form.

Maji tulikuwa tunaendea outside the school a walk ya 25 minz kuenda na kurudi…but iyo siku juu ya traffic ya student ata an hour inapita.

Apa sparta alikuwa class 6,iyo siku tukadecide kuenda place inaitwa kwa maigee (it was a dam) it was feared because most people go there to commit sucide and also used by criminals to dump victims…

Iyo siku tukiwa 6 students tuka amua kuenda kwa iyo dam na vibuyu…

Apo tukafutana kama mbuzi hadi kwa dam, ilikuwa karibu na coffee plantation kumejificha sana…apo tukafika mimi na jamaa anaitwa amo ndio tulikuwa vijana kusema…

Tulipofika tuka anza zile game za watoi kurusha jiwe kwa maji ina bounce bounce… .maujinga izo munaelewa…

Kiasi Amo akatoa uniform akaruka ndani…tuna mcheki akiswim kama pro…anatuencourage tuingiyee sio kudeep…

Apo apo sparta na pysce zake akatoa nguo, but l have heard of people drowning there so nikaruka na kibuyu…kujoin amo

Nikiwa na kibuyu ni hard kusink as long as umefunika poa and dont let go…

Sasa mimi na amo tunachocha the other four classmate waingiye …

Moja moja wanatoa nguo wanaingia …kinuthia boy moja ndio alikataa kuingia

Ikafika point tuna dive kwa maji tukitoka…tunafanya sommer ile ya mbele… Na wengine ya nyuma

Apo kinuthia hageresist iyo utamu akaruka na kibuyu yake…
Tulijibamba for a while then tuka anza kupataa courage ya kuenda far ndani… Apo ndio mistake tulifanya… Maji ilikuwa colder uko mbele na current ilikuwa strong…na ule mtu swimmer ni amo tu…

Sisi tukijibamba tu kinuthia aka lose grip ya kibuyu yake akainkia panic mode…aka anza kuchapa glass za maji…sisi tunacheka tu tukidhani atachapaa maji atokee

Nikamkaribia na kibuyu naye akanipandilia juu …nikaingia chini ya maji nikachapa glass kadhaa .sisi wote tuna sink…apo tena kibuyu yangu ikaenda…nika ingia panic mode pia…we are drowning sasa

Nikatumia miguu kupush kinuthia off me ndio nijisave juu tuna sink kama titanic…eventually akaniwachilia
Nikajikazaa kuchapaa maji na miguu to try kutoka iyo deep side to the shallows … energy nayo hakuna :frowning: eventually nikafika point naweza simama to catch a breath…

Kinuthia naye maji alikunywa vizuri… Thank God amo came to the rescue …kudrag his dead weight to shores…

We were terrified,wote tunalia zile fala zingine ata Zilikuwa zimevaa hadi uniform…na zikakimbia shule

Kinuthia was disorented anatapika tu hakuna kitu anatoa…Amo was the bigger man kumtuliza na pia kutushow kila kitu itakuwa poa…

Kinuthia fala naye hataki kuvalishwa hadi uni… jamaa macho ziko red hawezi tembea

Ikabidii tumembeba mimi na amo

Fast forward kufika chuo, news zilikuwa zime spread…headmaster na walimu walituchagamkia…

Kinuthia akapelekwa hosi na wazazi wao kuitwa

Sparta na amo staff room, kutandikwa kama burukengee

Na zile fala zilipotea pia, sasa iyo haikuwa kichapaa juu mathee ya kinuthia alikuja hadi shule akanirukia na slaps tukiwa na amo…tukashikwa ati tupelekwe police watoto wa shule… Apo kwa cheif …sasa kupelekwa hadi jamaa moja alikuwa amejikojolea juu ya kichapo. … . Mathee alifika akaelezwa vile kume enda nikajuwa mimi kwishaa…
Mathee akaniuliza mbona uso yako iko ivo nikamshow mama kinuthia alinichapa…

Akaniuliza ni mwalimu nikasema apa…mathee akasema Akahura mwana wakwa kai ena ngoma

Mathee aka jam ile mbaya akanitoa uko … Walimu wamenyamaza tu…

Mimi na mathee uyo hadi hosi pale kinuthia yuko…

Mathee alirukia uyo mathaa nduru ikatoka kama mtu ameuliwa … It was just drama after drama… Sijawai ona mathee amechapaa mtu…

Alikuwa anawika ukahura mwana wakwa weeeh wena ngoma…

Mathee akashikwa na karao pamoja na mama kinuthia…

Mimi nikachomoka nyumbani

Jioni naona mathee amekuja na superloaf akanishow everything is ok… .she has my back. :smiley:

Nimechoka second incident nitapost badayee

Thats quite a Mom.

Unconditional love:rolleyes:

Najua second incident haiwezi kosa “squirting”

Haha haina squirting nilitandikwa na mzae fulani nikapataa adabu

Ziii kuna wale walikuwa wanapewa food halafu next ni kichapo cha kimataifa

:D:D your narration is topss

Translate part zingine

Dat part means Akahura mwana wakwa kai ena ngoma
(anachapa mtoto wangu kwani ako na wazimu)

:smiley: apo sawa kaka

naona prediction kings iko down

Tunakula vip wewe bado uko kwa raiya

hekaya iko finethankyou sparta

:D:D:D:D

You just made my dull afternoon jovial

wengi tulikua tunapewa supper alafu tunageukiwa sasa ni kichapo after umeshiba ndio asikue guilty umekataa food juu amekuchapa

zile fala zingine ata Zilikuwa zimevaa hadi uniform…na zikakimbia shule…izo vipii zilikuwa zimeingisha njeve aje

In Dagoretti market hio barabara ya kuenda Karen kuna water tanks kubwa sana hapo kwa forest ambazo zinasupply Nairobi na maji, I think zinapata maji from ondiri swamp, from the tanks kuna very wide pipes like 4ft ambazo ni za kudrain dirty water wakati tanks zimeoswa, Hua zinashuka from high ground in the forest to a field hapo karibu na karinde. Along the path of the huge pipe kuna manholes complete with ladders za kuchukua chini to the pipe, Sasa sisi on weekends tulikua twaenda hapo kuslide, tunaingia kwaile manhole ya juu kabisa and enjoy the roller coaster ride to the field down below, I distance of like 2kms, huko ndani ya pipe was pitch dark coz it was underground and the only light ilikua ni kwa hizi manholes, it was a thrilling ride.

It so happened that one day maji iliachiliwa kaa ipii tatu ziko ndani, imagine the volume of water in a 4ft wide pipe, the poor boys were swept away in an instant like twigs, sisi wengine tukakimbia yetu yote tu the other end, Weuh disaster, ipii mbili zilikua dead, kila mtu alihepa kwao na hakuna mtu alisema yaliojiri, usiku ipii zikaanza kutafutwa na kipii kimoja kikasnitch, kikatoboa kila kitu mpaka wale walikua pale, Ngai Ngai Ngai, tulipigwa vita ya wholesale na the whole village the whole night as the bodies were retrieved, the following morning all the manholes were sealed vile you needed professional equipment to open. Whenever i go home lazima hio story ya hio epic kichapo itokee

Boss, tafadhali andika Memoirs of Meria Mata. It will sell. But i’ll wait for the pdf copy

Naona mamako ndiye alikuspoil?

We went swimming after we were sent to the neibouring school to take a letter coz siku hizo hakukuwa na simu, so tulikuwa tunatumwa boys wenye wamevaa viatu hio siku but eventually all the other boys who wish to comeby were not restricted ni kujificha tu alafu tunapatana mbele.
So kuingia kwa mto tukaanza ku swim, nikaskia nimegonga kitu na mguu nikadhani ni ile kitu bud ya ndizi hutokea in greek inaitwa kienja kia irigu. So nikaturn ati niende kuitoa kushika nikaskia kitu soft kuinua juu nimeshika nywele ni kichwa cha mwanamke, niliachilia na kutoka kwa maji mbio nguo tulivalia 2 kilometers from the river. Tulipitia kwa road mbio ka tumeshika uniform na tukaenda tukanyamaza. Kufika home usiku uoga iliniingia singetoka nje saa moja nikiwa pekee ama niingie kwa nyumba peke yangu for a whole 3 months.